Naomba mnijuze app nzuri ya kutenganisha wimbo na melod

Ngumu hiyo hasa wimbo ukiwa kwenye extension kama mp3,wav nk ni suala liko kiulinzi zaidi kuepusha wizi wa kazi za watu
Labda kwa extension kama flp unaeeza kufungua file kwa fl studio ukakuta pattern ziko kivyake

Bila hivyo sahau kabisa
 
NATAFUTA APP AU SITE AMBAYO NAWEZA ANGALIA MOVIE
 
mffolow huyu jamaaninsta video hii ameweka website ambayo inafilter nyimbo na melody...natumia sana kujifunzia kuzitengeneza upya nyimbo kwa beats yangu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…