Naomba mnijuze hii labour charge kama nimepigwa au laaaah!!!

Naomba mnijuze hii labour charge kama nimepigwa au laaaah!!!

Udochi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
787
Reaction score
1,056
Natumai mu wazima.

Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi,
Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo.

Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni master),
Sebule, dinning, jiko na choo.

Kazi mbili za kujenga boma na kupaua, kaniambia labour charge ni Milioni Mbili.

Wakuu, hii gharama inastahili tu nifanye naye kazi au amenipiga niachane naye?

(Picha hapa chini ni kazi niliyoiona ameifanya huyo fundi sehemu ingine)
View attachment 2091267
 
Natumai mu wazima.

Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi,
Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo.

Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni master),
Sebule, dinning, jiko na choo.

Kazi mbili za kujenga boma na kupaua, kaniambia labour charge ni Milioni Mbili.

Wakuu, hii gharama inastahili tu nifanye naye kazi au amenipiga niachane naye?
View attachment 2091267
Location wapi ?
 
Natumai mu wazima.

Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi,
Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo.

Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni master),
Sebule, dinning, jiko na choo.

Kazi mbili za kujenga boma na kupaua, kaniambia labour charge ni Milioni Mbili.

Wakuu, hii gharama inastahili tu nifanye naye kazi au amenipiga niachane naye?

(Picha hapa chini ni kazi niliyoiona ameifanya huyo fundi sehemu ingine)
View attachment 2091267
Usije ukadanganyika Mzee, labda awe fundi wa mchongo, kama amekuambia hivyo nenda nae huyo. Labda uombe punguzo sio mbaya. Bei ya kupaua pekee nyumba full kama hiyo huwa sio chini ya Million, kwa mafundi wazuri inaanzia 900k-1.4m inategemea na design hapo mkomalie apige na blundering na fascia boards. Hiyo bei ni reasonable kabisa labda omba punguzo muangalie mnalindanaje.
 
Natumai mu wazima.

Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi,
Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo.

Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni master),
Sebule, dinning, jiko na choo.

Kazi mbili za kujenga boma na kupaua, kaniambia labour charge ni Milioni Mbili.

Wakuu, hii gharama inastahili tu nifanye naye kazi au amenipiga niachane naye?

(Picha hapa chini ni kazi niliyoiona ameifanya huyo fundi sehemu ingine)
View attachment 2091267
Bila kuweka material cost itakuwa ngumu sana kusema kama umepigwa au la..!!
 
Fair kabisa ukimshusha sana akiona anungua yeye atalipua kazi,pia usimpe hela nyingi kwa pamoja mlipe on daily basis kutokana na kazi atakayofanya
 
Natumai mu wazima.

Nina site yangu ambayo nilishajenga msingi tangu mwaka juzi,
Sasa gharama za pango na mikiki ya Januari imenifanya nipakumbuke leo.

Msingi uliopo ni wa vyumba 3 (kimoja ni master),
Sebule, dinning, jiko na choo.

Kazi mbili za kujenga boma na kupaua, kaniambia labour charge ni Milioni Mbili.

Wakuu, hii gharama inastahili tu nifanye naye kazi au amenipiga niachane naye?

(Picha hapa chini ni kazi niliyoiona ameifanya huyo fundi sehemu ingine)
View attachment 2091267
Uko mkoa gani hizi gharama zinaendana na maeneo au mkoa
 
Back
Top Bottom