IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Nimefatilia thread nyingi hapa mjengoni na hili linahusu ishu ya DNA kuna baadhi ya nyuzi zili zungumzia upelelezi kwa wahusika wa matukio mbali mbali na kukamatwa kwa njia ya kupima vinasaba wengi wetu tunajua mtu anaweza kamatwa kwa kuhusika na tukio la mahuaji labda kwa kutumia kisu aliua na kisu kikakutwa sehemu husika na alikishika pasipo groves sasa kile kisu kitapimwa kwakua kina alama za vidole kitaonesha na muhusika anaetiliwa mashaka atapimwa ili kuthibitisha na kama ni kweli kahusika itaonesha.
TUJE HAPA PENYEWE
mtoto akizaliwa na baba wa mtoto akiwa na mashaka na uyo mtoto direct ataenda kupima DNA ili kujiridhisha mtoto wa kwake au sio it means DNA inaonesha ishu ipo hapa sasa kwanini mtoto uyo akiua na kuacha alama labda alitumia siraha ya shoka au panga au kisu n.k na wapelelezi wakaingia kati kufatilia akishikwa baba na akapimwa DNA inakataa na akishikwa mtoto akipimwa DNA itathibitisha ndio muhusika wa tukio sasa why DNA iyo iyo mtoto akizaliwa na baba akipima DNA kuthibitisha mtoto ni wake na inakubali lakini kwanin DNA iyo itofautishe kwenye tukio labda la mahuaji wakati watu hao ni damu moja na mbegu moja? Kucha ya baba na mtoto zikipimwa vinasaba vinakubali lakini kucha moja kati ya hao wawili ikikutwa sehemu ya tukio na wote wakachukuliwa kupimwa DNA itamuonesha yule yule aliyehusika na tukio ni swali gumu kulieleza nafikiri nimejitahidi kwa kiasi chake kuliuliza NB watoa povu wapo kila sehem na hata hapa watamwaga tu lakin lengo langu ni kutaka kujua ukiniona mjinga kiasi hicho basi pita kimya kimya ila wenye hekima zao watanijibu bila kukwaza wenzao shukrani wana intelligence.
TUJE HAPA PENYEWE
mtoto akizaliwa na baba wa mtoto akiwa na mashaka na uyo mtoto direct ataenda kupima DNA ili kujiridhisha mtoto wa kwake au sio it means DNA inaonesha ishu ipo hapa sasa kwanini mtoto uyo akiua na kuacha alama labda alitumia siraha ya shoka au panga au kisu n.k na wapelelezi wakaingia kati kufatilia akishikwa baba na akapimwa DNA inakataa na akishikwa mtoto akipimwa DNA itathibitisha ndio muhusika wa tukio sasa why DNA iyo iyo mtoto akizaliwa na baba akipima DNA kuthibitisha mtoto ni wake na inakubali lakini kwanin DNA iyo itofautishe kwenye tukio labda la mahuaji wakati watu hao ni damu moja na mbegu moja? Kucha ya baba na mtoto zikipimwa vinasaba vinakubali lakini kucha moja kati ya hao wawili ikikutwa sehemu ya tukio na wote wakachukuliwa kupimwa DNA itamuonesha yule yule aliyehusika na tukio ni swali gumu kulieleza nafikiri nimejitahidi kwa kiasi chake kuliuliza NB watoa povu wapo kila sehem na hata hapa watamwaga tu lakin lengo langu ni kutaka kujua ukiniona mjinga kiasi hicho basi pita kimya kimya ila wenye hekima zao watanijibu bila kukwaza wenzao shukrani wana intelligence.