Naomba mnijuze juu ya terminology zifuatazo katika ulimwengu wa siri kijasusi,kisiasa na kiimani

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Wakuu nimekutana sana hayo maneno katika usomaji wangu wa nyuzi mbalimbali za kijasusi hapa Kwenye kampuni yetu na nimekua nahangaika ku crack hizi code leo nikasema nisife na tai shingoni najua kuuliza ni ujinga acha leo nitoke kwenye huu ujinga japo naweza kupata nuru kwenu wana jamvi wenzangu.

1. vibwengo
2. MUNGU
3. mungu
4. Mungu
5. giza
6. Deep state
7. Saigon
8. Gaberon room 26
9. korido NDEFU ya makumbusho
10. st peters osterbay
11. the clinic
 
Vibwengo wananchi wa kawaida a.k.a mafala wasiojua kitu au mabundi hawaoni yaliyofichika
 
Naomba niandikie watu wanaoandika nyuzi nzuri hapa jamii
 
Hahahaa hapa hakuna hata mmoja anaejua hiyo Geranimo Ikea means target down kwa mfano huo sasa chukua hayo maneno kila moja lina sentence yenye maana hizo ni code
 
utasubiri sana,ila baadhi yanafanana,cha msingi endelea kujifunza zaidi
 
Kuna jamaa anashushaga nondo inbox huyo namba 11 swahiba wake na Tumia akili.
Huwa najiuliza
The Clinic na Tumia akili ni mtu mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…