kiujumla UDOM College of informatics and Virtual Education usipokaa vizuri unaweza usimalize but asikutishe mtu kama ulikaza ukapata point za kukupeleka hapo utakaza na utatoka, utakutana na Prof Anatory... Prof Mvuma utacheza saana na signals.. convolutions.... u just get prepared kama ulichagua hiyo coz unaipenda utaenjoy sana ndugu.......
kitu kingine Wanaodisco siyo waliochaguliwa na point ndogo f6 but any one ukilega kidogo inakula kwako Historia Haimati sana chuo kwa ninavyoona unless we ni geneous
kwani tellecomunication lazima uwe umesoma pcm mimi nimesoma pcb ila wamenichagua telecom st joseph
kiujumla UDOM College of informatics and Virtual Education usipokaa vizuri unaweza usimalize but asikutishe mtu kama ulikaza ukapata point za kukupeleka hapo utakaza na utatoka, utakutana na Prof Anatory... Prof Mvuma utacheza saana na signals.. convolutions.... u just get prepared kama ulichagua hiyo coz unaipenda utaenjoy sana ndugu.......
kitu kingine Wanaodisco siyo waliochaguliwa na point ndogo f6 but any one ukilega kidogo inakula kwako Historia Haimati sana chuo kwa ninavyoona unless we ni geneous
Nashukuru sana kaka,na vp kuhusu ajira kwenye hii kozi..?
kwani tellecomunication lazima uwe umesoma pcm mimi nimesoma pcb ila wamenichagua telecom st joseph
ninachoelewa mimi ili kuwa engineer hasa hizi za teknologia eg Computer, Telecom, software, na nying nyinginezo ni lazima uwe umesoma PHYSICS na MATHEMATICS vizur. but kama st. Joseph wamekuchukua sijui wanafanyaje... pengine ni kosa la TCU au wana program ambayo watafanya ili kuwabrush na kuwaweka sawa lyk PRE ENTRY PROGRAM
hata ukiwa na S tatu unasoma bachelor pale..wale ni hela kwenda mbele..
hata ukiwa na S tatu unasoma bachelor pale..wale ni hela kwenda mbele..
Wenye s tatu wanaanza na pre entry mwaka mmoja then ndo wanaendelea na bachelor
labda kwa njia hiyo inawezekana....
na mtu kama huyo anakubaliwa kupitia tcu au vp?