naomba mnijuze kwa hili.

naomba mnijuze kwa hili.

Benard kombe

Senior Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
139
Reaction score
41
mimi ni mwalimu,grade 3 je ninawezaje kusoma course nyingine tofauti na ualimu huku nikiendelea na kazi yangu kama kawaida?.au nichuo gani ambacho naweza kusoma course yoyote ile huku nikiendelea kuwa kituoni kwangu?.
natanguliza shukrani.
 
Endelea kutufundishia vijana wetu bana.
 
sawa mkubwa,ila sina nia ya kuacha ualimu zaidi ya kuongeza ujuzi mwingine
 
Unaweza kusoma chuo kikuu huria hapo hapo ulipo Mwalimu,ulizia ofisi zao ziko wapi hapo katika mkoa unaoishi na watembelee watakupa taratibu zote na kozi unazoweza kusoma.Kuhusu gharama ni nafuu mno,waweza pia kutembelea tovuti yao; www.out.ac.tz.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom