Benard kombe
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 139
- 41
mimi ni mwalimu,grade 3 je ninawezaje kusoma course nyingine tofauti na ualimu huku nikiendelea na kazi yangu kama kawaida?.au nichuo gani ambacho naweza kusoma course yoyote ile huku nikiendelea kuwa kituoni kwangu?.
natanguliza shukrani.
natanguliza shukrani.