Naomba mnijuze kwa hili!!!

Naomba mnijuze kwa hili!!!

  • Jaribu kuomba, kimsingi unatakiwa chuo kwa kufuata faculty zenye slots, Sababu ndio sharti lililotolewa na TCU.
  • Jaribu yaweza kuwabahati yako, ukafanikiwa.

Mkuu unatisha! Unatoa majibu utafikri wewe ndo TCU mwenyewe! Hongera mkuu, umetoa msaada mkubwa sana!
 
  • Jaribu kuomba, kimsingi unatakiwa chuo kwa kufuata faculty zenye slots, Sababu ndio sharti lililotolewa na TCU.
  • Jaribu yaweza kuwabahati yako, ukafanikiwa.

Asante Mkuu Ngoja nijaribu
 
And vp kama jina langu halipo ktk website ya chuo nilichochagua?ila tcu/nacte nipo?je italeta utata wa chuo kutonitambua ktk registration?msaada pls
 
Back
Top Bottom