ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Binadamu wote wenye maendeleo makubwa kiuchumi duniani sio waajiriwa ila kibongobongo mkiwa wote mna ajira mnasaidiana kama mna maelano mazuri mpaka kwenye fedha, kuna baadhi ya wanandoa pamoja na kuwa wote waajiriwa lkn mume hajui mkewe anapokea mshahara kiasi gani wala anazitumiaje, na kuhusu biashara inategemea ni biashara yenye mtaji wa kiasi gani kama ni mkubwa inatosha kuishi maisha mazuri bila mke kuangaika na chochote.