ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
wanajf naomba mnijuze,eti mume na mke wakiwa wafanyakazi za kuajiriwa ndiyo wanakuwa na maendeleo zaidi kuliko mmojawapo akiwa mfanyakazi mwingine msaidizi wa nyumbani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu wote wenye maendeleo makubwa kiuchumi duniani sio waajiriwa ila kibongobongo mkiwa wote mna ajira mnasaidiana kama mna maelano mazuri mpaka kwenye fedha, kuna baadhi ya wanandoa pamoja na kuwa wote waajiriwa lkn mume hajui mkewe anapokea mshahara kiasi gani wala anazitumiaje, na kuhusu biashara inategemea ni biashara yenye mtaji wa kiasi gani kama ni mkubwa inatosha kuishi maisha mazuri bila mke kuangaika na chochote.