Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Unapajua PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu missHabari zenu wapendwa, kwa muda mrefu nilikuwa napitia na kusoma mambo mbali mbali kwenye huu mtandao, sasa nimeamua rasmi kuwa member, naombeni mnikaribishe.
Ahsanteni
Si hivyo ni hisia hazidanganyi honeyMtatongoza wengine mashetani ohoo
Chura ipo?Mimi ni mwanamke
NdioUnapajua PM
AhsanteKaribu best
Ipo, mpaka mi mwenyewe naiogopaChura ipo?
Teh teh..Napunguza kasi ya wapinzani kwanza kabla sijaanza kufanya yanguTeh
Bro naona unafunika kombe wanaharamu tupite. Haya kila la kheri
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahahaha....mgeni una mbwembwe wewe.
Mkaribishe mgeni kwanza jamani mambo ya jinsia badae mgeni karibu sana hawa wajinsi wa kukaa nao mbali ujue teh tehKaribu..Wa jinsia gani Mgeni?
Mgeni na Kaboom nae uwe nae makini sana yaani sana
Mbona nimemkaribisha..Hutaki upate wifi??Mkaribishe mgeni kwanza jamani mambo ya jinsia badae mgeni karibu sana hawa wajinsi wa kukaa nao mbali ujue teh teh
Teh teh.. Akiwa makini na mimi atanipenda tuMgeni na Kaboom nae uwe nae makini sana yaani sana
Hivi huyu atakuwa wifi yangu wa ngapiMbona nimemkaribisha..Hutaki upate wifi??
AhahahhahaTeh teh.. Akiwa makini na mimi atanipenda tu
Teh teh.. Ebu acha ushilawaduHivi huyu atakuwa wifi yangu wa ngapi