G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
SomaSasa ndo wote tunalingana magoli, ikatokea wote tulipata penati sawa kwa sawa za kupiga (mfano penati 5 kila mmoja), mimi nika zifunga zangu zote, ndo zika add up kwenye yale magoli tunayolingana, na mwenzangu kafunga 2 tu na ikaziongezea kwenye yale magoli yake tunayolingana, je, yule mwenzangu atapata sifa kwa sababu alifunga penati chache, mi niliyefunga nyingi ndo nikakosa zawadi? Hebu tuweke ushabiki pembeni kwanza.
Kigezo cha penati ni kibovu sana. Hii siyo basketball kwamba magoli yatofautiane thamani.Sasa ndo wote tunalingana magoli, ikatokea wote tulipata penati sawa kwa sawa za kupiga (mfano penati 5 kila mmoja), mimi nika zifunga zangu zote, ndo zika add up kwenye yale magoli tunayolingana, na mwenzangu kafunga 2 tu na ikaziongezea kwenye yale magoli yake tunayolingana, je, yule mwenzangu atapata sifa kwa sababu alifunga penati chache, mi niliyefunga nyingi ndo nikakosa zawadi? Hebu tuweke ushabiki pembeni kwanza.
Kanuni mpya zilizo fanyiwa maboresho ni hizi hapa.Huyo anayetumia penati kama kigezo hatumii kichwa sawasawa kama kama ni TFF au Bodi.
Babu,Sasa ndo wote tunalingana magoli, ikatokea wote tulipata penati sawa kwa sawa za kupiga (mfano penati 5 kila mmoja), mimi nika zifunga zangu zote, ndo zika add up kwenye yale magoli tunayolingana, na mwenzangu kafunga 2 tu na ikaziongezea kwenye yale magoli yake tunayolingana, je, yule mwenzangu atapata sifa kwa sababu alifunga penati chache, mi niliyefunga nyingi ndo nikakosa zawadi? Hebu tuweke ushabiki pembeni kwanza.
Rudia kusoma nilichoandika Acha kukurupuka.Babu,
Yanaongelewa Magoli ya penati kwenye kanuni. Siyo Penati ulizokosa!.
Yanayoangaliwa ni Magoli tu.
Na siyo politics.
Tff walishafafanua hilo wakati wa battle ya Mpole na Mayele.View attachment 2652191