Naomba mnipokee mwenzenu

Naomba mnipokee mwenzenu

Dr. Welelo

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
13
Reaction score
8
Nipo siku nyingi humu nikiwasoma kama mgeni, leo nimeona nijiunge na mimi nipate kuchangia mawili matatu kulingana na uzoefu wangu kwani sasa nina muda wa kutosha baada ya kumaliza majukumu yaliyokuwa yamenitinga.

Naomba mnipokee tafadhalini.
 
Mbona umechelewa Mkuu. Karibu sana.
 
Back
Top Bottom