Naomba mnipokee wakongwe, mimi ni mgeni humu

Naomba mnipokee wakongwe, mimi ni mgeni humu

ustadhijuma

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
3,021
Reaction score
1,978
habar kwenu wapendwa mi ni mgeni jamiiforum naomba mnipokee ila sitaki mtu aulize jinsia yang
 
Zamani ulikua unaitwaje!
Haiwezekan uwe bikra afu ulale chali. Umejuaje wanalala chali?!
 
mkuu si unajua kuwa humu ndani utakuta mtu ana ID ya kike kumbe dume and vice versa

kutokana theory za kifalsa wew ni mwenyej umejuaje yote hayo kuhusu id na ujinsia wa watu kwamba uko vice versa au la? hebu tutajie mtu mmoja ambaye unamuhisi amafanya hivyo.
 
kutokana theory za kifalsa wew ni mwenyej umejuaje yote hayo kuhusu id na ujinsia wa watu kwamba uko vice versa au la? hebu tutajie mtu mmoja ambaye unamuhisi amafanya hivyo.

mkuu mi nlikuwa nasoma 2 thread mbalimbali ila leo ndo nimejoin mkuu then kuhusu mtu ambaye ana id ya kiume ilhali ye ni girls ni huyu pono
 
Karibu mgeni..lakini tunawasiwasi na uhalisia wa ugeni wako

halafu tangu mondi apate tuzo, jamiiforum idadi ya ID mpya na wageni imeongezeka kwa kasi sana
 
Karibu mgeni..lakini tunawasiwasi na uhalisia wa ugeni wako

halafu tangu mondi apate tuzo, jamiiforum idadi ya ID mpya na wageni imeongezeka kwa kasi sana

mi sishabikii miziki
 
Tukupokee kwani kunazigo umekuja nalo
 


Ustadh we ni mgeni una masaa machache ushafikisha post 40, hata mimi nina mashaka ..... ni mwenyeji uliyeamua kuja kivingine ....

Halafu unawezakuta ni mzee kastaafu kabisa
 
Back
Top Bottom