Naomba mnipokee wakongwe, mimi ni mgeni humu

Naomba mnipokee wakongwe, mimi ni mgeni humu

Ustadhi umemuachia nani kufundisha madrasa?

Any way karibu

Huku hakuna mihemko.
Mambo ya kuchat kama ulivyokuwa unachat facebook hamna.
Matusi hayaruhusiwi.
Kiarabu hakiruhusiwi english na kiswahili tu
 
hahahahahahha nilikuwa nasubiri matusi kumbe tusi lenyewe ni soft namna hiyo.

thanks for your concern but am already taken by STUNTER
............Ivi kumbe Kuna watu hawayapendi meno yao namna hii?
Haya ngoja aendelee
 
............Ivi kumbe Kuna watu hawayapendi meno yao namna hii?
Haya ngoja aendelee
umeonaeee my dear, ila namwangalia tu mimi. jana kanitishia kweli jaman ila wewe ukanyamaza.

loooh
 
umeonaeee my dear, ila namwangalia tu mimi. jana kanitishia kweli jaman ila wewe ukanyamaza.

loooh
mimi sikumuona bae, ungeniita ningekuja As Soon as Possible bae... So sorry kwa hilo
 
hahahahahahha nilikuwa nasubiri matusi kumbe tusi lenyewe ni soft namna hiyo.

thanks for your concern but am already taken by STUNTER
njoo kwangu nikupe furaha mtoto mzuri huyo STUNTER kashazeeka!! mi nakupenda kiasi kwamba nikila miogo nakuona kwenye kachumbari
 
Back
Top Bottom