Naomba mnipokee

Naomba mnipokee

Tabata segerea sio kigogoView attachment 1665319
Bwana Milanzi karibu Jf Bahari isionamipaka na kisima cha maarifa. Huku Jf kila kitu itapata. Mabaya na mazuri. Wajinga na wenye Ankili. Matusi na Wenye Kejeli. Pamoja na yote huku Jf pamejaa majina bandia na picha za uongo..... Je ya kwako ni halisia au ni wale wale? Karibu.
 
Sio msukuma.


Poa, basi karibu sana Jf, ila humu kuna watu wa kila aina, humu atafurahi na pia utachukia lakini hayo ndiyo maisha ya jf, wapo watu wanaosema eti Mungu hayupo!!!🤣

Karibu sana dogo.
 
Poa, basi karibu sana Jf, ila humu kuna watu wa kila aina, humu atafurahi na pia utachukia lakini hayo ndiyo maisha ya jf, wapo watu wanaosema eti Mungu hayupo!!![emoji1787]

Karibu sana dogo.
MUNGU yupo hao wanakufuru
 
Karbu unatumia kinywaji gani, maji, sharubati au wine.
 
Pia uwe mtulivu wa kuchambua mambo hapa sio facebook ,karibu mkuu ambapo kila mtu huku ni mkuu hata kama ni wa form one mwaka huu
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Back
Top Bottom