Bwana Milanzi karibu Jf Bahari isionamipaka na kisima cha maarifa. Huku Jf kila kitu itapata. Mabaya na mazuri. Wajinga na wenye Ankili. Matusi na Wenye Kejeli. Pamoja na yote huku Jf pamejaa majina bandia na picha za uongo..... Je ya kwako ni halisia au ni wale wale? Karibu.Tabata segerea sio kigogoView attachment 1665319
Sio msukuma.
Tabata segerea kubwa kuna kwa bibi kuna mwisho wa mabasi kuna bonyokwa kuna kisukuru kuna kwa meja kuna kwa dick kuna viwanja vya punda wapi we kijana inakaa/Tabata segerea sio kigogoView attachment 1665319
Ndio mjuukuu wanguMhh mjukuu
Haya karibu mligagala lya jfKamwene
Mambo ya fb haya bana.Tabata segerea sio kigogoView attachment 1665319