naomba mnisaidie mawazo yenu kuhusu huyu mdogo wangu.

nimahussein

Senior Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
181
Reaction score
27
nina mdogo wangu wa kike amemaliza form 6 PCB mwaka huu kakini amefeli(hakupata kitu),lakini form four ana pass zote ie div 2..mzee ameamua ajitutumue anataka kumpeleka malaysia,lakini ndoto zake ilikua ni udaktari ila mambo ndio yameharibika na kuanzia kwa cheti cha form four atasoma muda mrefu sana,sasa tulikua tumesuggest course tatu
1.environmental health
2.statistics
3.business au business information technology
hilo jukumu nimepewa mm ili nitafute ufumbuzi so nawakilisha kwenu nyinyi wenzangu na hata kama mnafkiria course nyengine zaidi ya hizi
Nitawashukuru sana kwa msaada wenu
 
Mkuu kama anatakuwa daktari mwambie apige diploma ya medicine yani clinical medicine miaka 3 akifaulu fresh anenda piga medicine digrii.hii ni kama form four alikuwa na phy d,chem c,na bios c.
 
Mkuu kama anatakuwa daktari mwambie apige diploma ya medicine yani clinical medicine miaka 3 akifaulu fresh anenda piga medicine digrii.hii ni kama form four alikuwa na phy d,chem c,na bios c.

naunga mkono hoja asome kozi zilizotajwa hapo juu ili atimize malengo yake
 
Mkuu kama anatakuwa daktari mwambie apige diploma ya medicine yani clinical medicine miaka 3 akifaulu fresh anenda piga medicine digrii.hii ni kama form four alikuwa na phy d,chem c,na bios c.

hizo crdt anazo lakini muda wa kuomba vyuo vya tanzania ndio umeshapita ndio maana anataka kupelekwa malaysia,kwani vipi kuhusu hio environmental health?
 
Mkuu kama anatakuwa daktari mwambie apige diploma ya medicine yani clinical medicine miaka 3 akifaulu fresh anenda piga medicine digrii.hii ni kama form four alikuwa na phy d,chem c,na bios c.

Jamaa keshamaliza kila kitu, jukua ushauri huo kawambie alafu uje utujuze
 
Huko malaysia hakuna k2 zaidi ataenda kujifunza kufanya umalaya tu..mwambieni awe mvumilivu ili mwakani aaply vyuo vya hapa hapa tanzania kwa level ya diploma.over
 
Jamaa keshamaliza kila kitu, jukua ushauri huo kawambie alafu uje utujuze
tatizo kaka muda wa kuomba vyuo hapa tz umeshaisha,coz mzee alifkiria ampeleke uturuki akasome medicine ila ameona muda utakua mrefu na huyu ni mtoto wa kike,ndio maana tumeona bora abadilishe tu
 
Huko malaysia hakuna k2 zaidi ataenda kujifunza kufanya umalaya tu..mwambieni awe mvumilivu ili mwakani aaply vyuo vya hapa hapa tanzania kwa level ya diploma.over
mhh..unanitisha sasa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…