Naomba mrejesho kuhusu pikipiki za hero

Naomba mrejesho kuhusu pikipiki za hero

Babapecha

Senior Member
Joined
Jul 23, 2019
Posts
177
Reaction score
150
Habari wakuu wa jf, kwa wale ambao munatumia pikipiki za hero hunter 125 cc na dawn 125 cc tujulishane changamoto na faida za pikipiki za hero hasa kwenye uimara na upatikanaji wa spare

Sent from my itel L5002P using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom