Habari wakuu wa jf, kwa wale ambao munatumia pikipiki za hero hunter 125 cc na dawn 125 cc tujulishane changamoto na faida za pikipiki za hero hasa kwenye uimara na upatikanaji wa spare
Sent from my itel L5002P using JamiiForums mobile app
Sent from my itel L5002P using JamiiForums mobile app