Naomba mrejesho wa upatikanaji wa sukari mtaani kwako!

Naomba mrejesho wa upatikanaji wa sukari mtaani kwako!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Je, mtaani kwako sukari inapatikana?

Kama inapatikana bei elekezi inazingatiwa?

Una maoni gani mengine kuhusu sukari.

Nategemea kuonana na waziri wa biashara soon so nilitaka nimpelekee hoja hii maana wengi mlilalamika hapa kwamba mmeacha kunywa chai na wengine mkadai sasa mnaamkia mbege na ulanzi.

Maendeleo hayana vyama!
 
nipo uswahilini hapa dogo ametumwa sukari na mama yake karudisha fedha kasema sukari robo 900/-
 
Je, mtaani kwako sukari inapatikana?

Kama inapatikana bei elekezi inazingatiwa?

Una maoni gani mengine kuhusu sukari.

Nategemea kuonana na waziri wa biashara soon so nilitaka nimpelekee hoja hii maana wengi mlilalamika hapa kwamba mmeacha kunywa chai na wengine mkadai sasa mnaamkia mbege na ulanzi.

Maendeleo hayana vyama!
Inapatikana ila si kwa bei elekezi ,imezidi Tsh 400.
 
Huku ipo tele tena ya Kilombero Sugar kilo ni 2600.

Karibuni
 
Back
Top Bottom