Naomba mrejesho wa upatikanaji wa sukari mtaani kwako!

Naomba mrejesho wa upatikanaji wa sukari mtaani kwako!

Miaka 60 ya uhuru hata uhakika wa walau Sukari tu katika nchi yako hakuna, sasa huo uhuru ulikuwa ni wa nini basi... mi nafikiri tulililia kujitawala wakati hatujajipanga... yaani aliyezaliwa siku ya Uhuru Dec 1961 kwa sasa anajiandaa kustaafu lakini Taifa lake ni shinda kila unapogusa.
 
Me sijui hata bei ishafika sh ngapi?? mwenzi Wa NNE sasa sijawahi kununua
 
Miaka 60 ya uhuru hata uhakika wa walau Sukari tu katika nchi yako hakuna, sasa huo uhuru ulikuwa ni wa nini basi... mi nafikiri tulililia kujitawala wakati hatujajipanga... yaani aliyezaliwa siku ya Uhuru Dec 1961 kwa sasa anajiandaa kustaafu lakini Taifa lake ni shinda kila unapogusa.
Mbowe anajiandaa kustaafu?
 
Kwetu ipo lakini mwisho unapata kg 2 tuu hakuna zaidi ya hapo, Mpemba anasema watu wanapaswa kupata wote
 
Soma post #23 mnatuchosha kujibu nyie wavivu wa kusoma
Wewe nawe utakuwa unakula kwa shemeji nini,mie nilikuwa nataka useme umenunua dukani sio maneno ya kusikia
 
Bado sijaweza tofautisha sukari na bange.maana ni adimu.wauzaji wanasema biashar ya sukari ni kichaa.unaweza fungwa bure.wameamua kuuza vitu vingine maana huko bado wanapata faida bila stress
 
Mtaani kwetu ,nimenunua 3,500 sijaamini kwa kweli na unapewa kwa kifisho uchochoroni
 
Wewe nawe utakuwa unakula kwa shemeji nini,mie nilikuwa nataka useme umenunua dukani sio maneno ya kusikia
Unawakumbuka watu waliitwa VILAZA na Magufuli!!!

Nimesema nimenunua Dar 2600 sukari ya Kilombero. Pia nikaongeza Moro pia wamenambia bei ni hiyo hiyo inapatikana sasa.

Tumia akili zako ndio maana uliruka post ukauliza same question, kwa kujua ukilaza wako nilitaka urudi uangalie ujione ulivyo kilaza
 
Nmeipata Jana kwa tabu Sana kwa sh 3, 000. Dsm
 
Back
Top Bottom