Kivule
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 639
- 662
Habari wakuu, mimi ni mwanafunzi wa 1st year apo UDSM, nilichelewa kuripoti chuo sababu za matatizo yaliyonikabili.....sasa nashangaa baada ya kufanya usajili nataka kulipia chumba naambiwa chumba kimeuzwa tutakutafutia pengine na nimefatilia wiki hii nzima kila siku napigwa calendar na mimi si mwenyeji wa Dar.
Chumba nilipangiwa HALL 2...ROOM NO.349, naombeni ushauri kwa wazoefu mana kila siku nataman asubuhi ifike mana sina pa kulala. Au mwenye kuniunganisha na waziri wa malazi anisaidie.
Chumba nilipangiwa HALL 2...ROOM NO.349, naombeni ushauri kwa wazoefu mana kila siku nataman asubuhi ifike mana sina pa kulala. Au mwenye kuniunganisha na waziri wa malazi anisaidie.