Jamaa unakera Sasa sifa zikizidi ni ujingaTafuta engine ya Yutong au Higer zipo vzr, au uikate iwe pickup itapendeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo funga injini ya 3S-GE hii imetumika kwenye Toyota Caldina, Rav4,Noah,Mark 2,Cresta na Chaser gr80. Hii ni 4 cylinder na ina 1980cc.
Pia unaweza ukafunga engine ya 7A Kama ya kwenye Carina SI hii ina 1780cc na ni 4cylinder.
Mkuu hizi ni injini rafiki kwa shida na raha,spea bei nafuu na hazina magonjwa hutosikia habari za sensor kufa wewe hata ukipita kwenye maji huna hofu.
Kama engine haitokaa vizuri, mruhusu fundi afanye modifications usiogope maneno ya watu kila kitu kinawezekana.
PickupTafuta engine ya Yutong au Higer zipo vzr, au uikate iwe pickup itapendeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo hakuna gharama maana engine hiyo ni nzima hivyo ataiuza na kununua nyingine au hatafanya mabadilishano na kuongeza pesa kidogo.Gharama zote hizo za kubadili engine ni za nini boss wkt hata thamani ya Gari zima(Gx 90) haizidi 2mil.
Mkuu hapo hakuna gharama maana engine hiyo ni nzima hivyo ataiuza na kununua nyingine au hatafanya mabadilishano na kuongeza pesa kidogo.
Hiyo thamani ya gari hata kama ni ndogo yeye itakuwa ni gari anayoipenda hivyo yupo tayari kuihudumia ili iwe barabarani.
Mkuu hapo hakuna gharama maana engine hiyo ni nzima hivyo ataiuza na kununua nyingine au hatafanya mabadilishano na kuongeza pesa kidogo.
Hiyo thamani ya gari hata kama ni ndogo yeye itakuwa ni gari anayoipenda hivyo yupo tayari kuihudumia ili iwe barabarani.
Kwahyo akiifanya hivyo inakuwa haili mafuta?Bora ufanye hivi mara mia,Arusha najua wanafanya hizi mambo sana ila sijui mark 2/cresta/chaser itagharimu kiasi gani kui-convert kwenda kwny pick up.
Kuna gari ambayo haili mafuta?!? Inakula viazi au makande?;!Kwahyo akiifanya hivyo inakuwa haili mafuta?
Nadhani umenielewa ila unajirudisha utotoni tu.Mtoa mada anaomba ushauri wa kubadili engine kwasababu aliyokuwa nayo inakula sana mafuta, nyinyi mnamwambia afanye pickup, kwahyo ndio solution la tatizo lake?Kuna gari ambayo haili mafuta?!? Inakula viazi au makande?;!
7A inaweza kusukuma bodi ya GX100?Hapo funga injini ya 3S-GE hii imetumika kwenye Toyota Caldina, Rav4,Noah,Mark 2,Cresta na Chaser gr80. Hii ni 4 cylinder na ina 1980cc.
Pia unaweza ukafunga engine ya 7A Kama ya kwenye Carina SI hii ina 1780cc na ni 4cylinder.
Mkuu hizi ni injini rafiki kwa shida na raha,spea bei nafuu na hazina magonjwa hutosikia habari za sensor kufa wewe hata ukipita kwenye maji huna hofu.
Kama engine haitokaa vizuri, mruhusu fundi afanye modifications usiogope maneno ya watu kila kitu kinawezekana.
Inaweza, 7A inazalisha nazani 110hp itashindwa wapi?7A inaweza kusukuma bodi ya GX100?
Funga 5A haina shida.Ufafanuzi mzuri mkuu,mfano nikitaka kubadili engine ya GDI io naweza kuweka engine gani na ikafaa mkuu maana naona matengenezo ya GDI ni ya mara kwa mara lakini pia kama mafundi inawazingua sana
Kwahyo akiifanya hivyo inakuwa haili mafuta?
Vizuri!Ndio,itakula michembe na maparage.
Acha basi utani inawezekana kuwa pikaupTafuta engine ya Yutong au Higer zipo vzr, au uikate iwe pickup itapendeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona kumbe inawezekana gharama yake ni sh ngapi na mafundi naweza kuwapata wapi