Naomba msaada, Injiini gani ya gari niweke ili isile mafuta sana?

Naomba msaada, Injiini gani ya gari niweke ili isile mafuta sana?

Gari yangu ni grande mark 2 gx 90 injin yake ni six cylinder cc 1987 sasa inatumia mafuta sana
sasa ulitaka itumie ulanzi au!? weka injini ya bajaj bas shwain...
 
funga engen 4FE -4S CC 1800 FOUR CYLINDER IPO KWENYE BALLOON
 
Back
Top Bottom