naomba msaada jaman nimechanganya mambo TCU+HESLB

nimahussein

Senior Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
181
Reaction score
27
habari zenu wanajamii wenzangu,jamani nilifanya mtihani mara mbili olevel(moja nilireseat) sasa wakati najaza TCU ile username niliweka exam number kile cheti nilichoreseat P0309 na baadae nikaadd seat ya kile cha mwanzo, na wakati najaza kule HESLB walitaka cheti cha mwanzo kabisa kwa hio nikaweka exam number ya ile S0832 then nikaambatanisha na kile cha P0309, sasa nina wasiwasi hawa HESLB wakiletewa jina na TCU haitaleta shida?naombeni msaada wenu nijue la kufanya.
 
usipanic mbona so ion tatizo apo

mm nafkiria wale TCU wanapeleka exam number ya form four so wakipeleka ile P0309 hawa HESLB watakua wana ile S0832 so watashindwa kuniona wakifanya connection zao maana nasikia connection ni form four exam number
 
Pole sana kijana.Hapo naona kutakuwa na tatizo kidogo ila kama kuna uwezekano waweza wasiliana na heslb kuomba ufafanuzi kuhusu swala hilo.
 
Wasiliana nao tu mapema sidhani kama ni tatizo kubwa kama ufikiriavyo....
 
kwani kama jina lisipotoka naweza kufatilia au ndio inakua ndio basi tena?
 
Haina shida iyo bodi wakihtaji matokeo yako system yao iko linked necta usijal hyo sio tatizo kabisa ila kuna swal pale kama ulijibu kuwa umesit mtihan w f4 mara ngap
 
Haina shida iyo bodi wakihtaji matokeo yako system yao iko linked necta usijal hyo sio tatizo kabisa ila kuna swal pale kama ulijibu kuwa umesit mtihan w f4 mara ngap
nimekuelewa kaka,bodi nilisema na niliattach kama nimereseat na kule tcu niliadd ile ya S0832 nilipoambiwa niadd seat ..
 
Cdhan kama nitatizo,walisema kama umelist tumia namba ya mwanzo na cio ya pili,kama uli2mia namba ya mwamzo no tabuuu!.na ukaanbatanisha na vyeti sahihi jina sahihi kwa vyeti vyote haisumbui mana kuna system itaonyesha2.
 
mkuu wafate board pale mwenge uwaeleze.

tatizo wale wana maringo sana,unaweza ukaenda wakakuzingua hata huyo muhusika usimuone,nipo mbali na dar,nimeona bora nisubirie majina kama halikutoka basi itabidi nifatilie,kwani wanatoa majina ya waliokosa na reason ya kukosa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…