Samahani sana wakuu,
Ninaomba kufahamishwa taratibu za kujiunga na jeshi la magereza au uhamiaji kwa walio hitimu kidato cha nne mwaka 2013
Je nafasi zao hutolewa lini?
Na mafunzo hayo hutolewa kwa muda wa ni miaka mingapi?
NB:nijuze katika idara unayo ijua kati ya magereza na uhamiaji
#naomba msaada wako kwa hili
wamesha tangaza nafasi hzo mkuu?Nenda chuo cha polisi kwanza, aply ccp moshi....ukipata mengine utayajulia uko.
nitakutumia hata vocha mkuu ukifanya hivyo, hzo nafas hutangazwa mwez wa ngap?Magereza ni miezi isiyopungua 6-8 kwa mafunzo ya awali. Chuo kipo mbeya. Wakitangaza nafasi ntakuku pm.
sawa nimekupataNenda kwanza JKT kwa kujitolea,vyombo vingi watakuja kuwasaili huko