Samahani sana wakuu,
Ninaomba kufahamishwa taratibu za kujiunga na jeshi la magereza au uhamiaji kwa walio hitimu kidato cha nne mwaka 2013
Je nafasi zao hutolewa lini?
Na mafunzo hayo hutolewa kwa muda wa ni miaka mingapi?
NB:nijuze katika idara unayo ijua kati ya magereza na uhamiaji
#naomba msaada wako kwa hili
Ninaomba kufahamishwa taratibu za kujiunga na jeshi la magereza au uhamiaji kwa walio hitimu kidato cha nne mwaka 2013
Je nafasi zao hutolewa lini?
Na mafunzo hayo hutolewa kwa muda wa ni miaka mingapi?
NB:nijuze katika idara unayo ijua kati ya magereza na uhamiaji
#naomba msaada wako kwa hili