LethalVerda
Member
- Mar 27, 2018
- 22
- 21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanzania sisi ni wavivu sana wa kuwaza...
Msaidie hutapungukiwa kitu. Watu hatufananiwatanzania sisi ni wavivu sana wa kuwaza...
Hahaaa ukiwa unaongea tu kwa maneno ni rahis ilaa daa hii kaz inahitaji nguvu nying,, mpaka akili,,,Kodi toroli au baiskeli alafu kajumue machungwa au matunda yoyote Buguruni.Zama uswazi kisha leta mrejesho hapa.
Iyo dhambi,Riba ni mbayaKopesha with Interest
Leta ideas bwana chinga one....watanzania sisi ni wavivu sana wa kuwaza...
Mkuu hata biashara ya genge huwezi Fanya na hiyo hela. Chamsingi tafuta kibarua upate mtaji mkubwa. Siku hizi hata genge linaanzia 500k tena kwa kusuasua
ni pm nikupe deal //
nunua mayai yachemshe wape vijana wakisambaza unaula.. trei shs 8000 kila trei faida elf 4n
ni pm nikupe deal //
Duh. Sasa akopeshe hadi lini ije imtoe kwa hy 50Kopesha with Interest