Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Shukranidaah pole sana mkuu
Sawa mkuu tuonane pmDuh, pole sana... Kuna jamaa mmoja nilimuona nae alikuwa hivyo hadi nywele hazioti. Nikampa dawa moja ya Kimasai, inaitwa Oltemwai au Ndemwai... Akaja kunitafuta kwa shukrani. Tafuta hiyo dawa, ukikosa nitafute nikuuzie... Usisahau kuleta mrejesho.
Nipo kaskazini mkuuKuna dawa zipo za kupaka nakunywa kama ungekuwa kusini ningekwambia uende nyangao kwa madaktari bingwa na ufue sana mashuka
Pole sanaVilianza Kama vipele, baadae kukua na nimetumia dawa mbali mbali lakini vinakauka then kurudi, msaada tafadhali kwa anayejua suluhisho coz Ni miaka Sasa nateseka kujitibu
Natanguliza shukrani!View attachment 2889640
ndege JOHN msaidie mkuu.Kuna dawa zipo za kupaka nakunywa kama ungekuwa kusini ningekwambia uende nyangao kwa madaktari bingwa na ufue sana mashuka
+255763578057 nitafute kama upo Dar njoo clinic Victoria, Tanzanite Park, gorofa ya piliVilianza Kama vipele, baadae kukua na nimetumia dawa mbali mbali lakini vinakauka then kurudi, msaada tafadhali kwa anayejua suluhisho coz Ni miaka Sasa nateseka kujitibu
Natanguliza shukrani!View attachment 2889640
Nimezunguka kwa madaktari Sana mkuu....mpaka nafika hapa kuomba msaada ujue nimeshatumia dawa nyingi mno kuanzia za hospitali Hadi za kienyejiUmewahi kukutana na madaktari wa ngozi na allergy?
Alafu unafanyaje??Tafuta Majani machoma nguo