samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
- Thread starter
-
- #21
Sawa Dakitale.
Kwanza sijui kwa nini walimpatia hiyo ampiclox. Ila kama kuna mucus puani,njia rahisi,salama na isiyokuwa na gharama ni kuweka kinyaa pembeni na kunyonya hizo mucus kwa mdomo wako au mwenzio hadi ziishe.Huenda ikwa ni kwa sababu hiyo ndio maana anaonekana ana mafua.Jaribu kufanya hivyo haraka kisha urudi hapa utuambie,ili tuone namna nyingine ya kukushauri.
Siku hizi kuna Nasal Aspirator device za aina mbali bali zinapatikana town,ya nini kuyanyonya makamasi na mdomo wako?
Pia Mtafutie na dawa moja inaitwa saline nasal spray (hiyo katika picha ),achana na otrivine kabisa. Hakika utarudi kutoa ushuhuda wa jinsi itakavyomsaidia.
Siku hizi kuna Nasal Aspirator device za aina mbali bali zinapatikana town,ya nini kuyanyonya makamasi na mdomo wako?
Pia Mtafutie na dawa moja inaitwa saline nasal spray (hiyo katika picha ),achana na otrivine kabisa. Hakika utarudi kutoa ushuhuda wa jinsi itakavyomsaidia.
Umenitisha kaka ubongo? Oops !!!! Nitampeleka kesho ila ana 13days bima yake bado.