Naomba msaada juu ya upofu wa ghafla

saga v

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
7
Reaction score
0
Wana jf,

Naomba msaada kwa anaefahamu tiba juu ya upofu wa ghafla.

Umemkuta jamaa yangu kaenda hospitali ya KCMC mkoani Kilimanjaro amepimwa kila kitu lakini hana tatizo lolote popote.
 

Fatilia ujue kama alishawahi kuwa na ugonjwa wa kaswende.Lakini kitu cha lazima ni kuendelea kuonana na wataalamu wa macho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…