kada... hakuna tatizo uzuri wa hoja ni nguvu yake.. na ile hoja ziwe na utamu lazima hoja mama iwe kali... jukumu lenu ni kukosoa hoja yangu, kuipinga kabisa au kuitetea... mimi nasema yote yanayoendelea nchini sasa hivi ni kwamba taifa limepoteza ule moto wake uliowaka zamani...!! hivyo si mikataba tu ila mambo mengine mengi.. ni kwamba tumepoteza ile tunu iliyotufanya tuone fahari kuwa sisi ni watanzania... sijasema imezimika kabisa.. ila kwa mwendo huu tutafika kweli?