ivanmark714
Member
- Jul 13, 2019
- 67
- 110
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 25 na ni wa mwisho kuzaliwa katika familia yenye watoto sita. Wazazi wetu wameshafariki hivyo tumeachiwa baadhi ya mali ambavyo ni nyumba na mashamba tumegawana baadhi ya mali (mashamba) hakuna shida.
Tatizo lipo hapa ninapofanyia kazi mimi ni kwenye nyumba ya familia! Kama ilivyo kawaida mfano ikatokea wanataka tuuze hapa ipo sheria ya mimi nikitaka nigaiwe kasemu ambapo mimi nafanyia kazi kama tulivyogawa sehemu nyengine sababu ni sehemu nyeti ambapo hata ukiwa sehemu ndogo ya kuenea fremu moja inawezesha kuendesha maisha yangu na nikaridhika kwa sehemu hiyo!
NB: poleni kwa uwandishi mbaya
Tatizo lipo hapa ninapofanyia kazi mimi ni kwenye nyumba ya familia! Kama ilivyo kawaida mfano ikatokea wanataka tuuze hapa ipo sheria ya mimi nikitaka nigaiwe kasemu ambapo mimi nafanyia kazi kama tulivyogawa sehemu nyengine sababu ni sehemu nyeti ambapo hata ukiwa sehemu ndogo ya kuenea fremu moja inawezesha kuendesha maisha yangu na nikaridhika kwa sehemu hiyo!
NB: poleni kwa uwandishi mbaya