switmumie
Member
- Jul 11, 2015
- 7
- 3
Habari za asubuhi wapendwa.
Yaani nimeamka na mawazo sana nikaona nije huku kutaka msaada wenu yawezekana mm ni mshamba eneo hili.
Juzi nilinunua nguo duka fulan maeneo ya Sinza kulikua na sale hizi nguo za Uturuki kwa sale ya sh laki1. Katika nguo zilizokua kweny sale atleast ile kwangu ndio ilinivutia machoni pamoja na kua zilikuwepo nyingi tu.
Sasa kufika nyumbani nikajaribu tena ile nguo nikiwa kwenye viatu 👠 huku nikitembea tembea kutoka sehem moja kwenda nyingine, nikagundua ile gauni ina kasoro ukitembea kitambaa cha ndani yaani lining inajivuta so gauni inajikunja, wanawake watanielewa.
Basi nikaamua kurudisha pale dukani, kwa vile sikuona nguo niliyoipenda kweny sale nikaona niongeze laki1 nyingine nichukue tu gauni ya kawaida niachane na nguo za sale. Nimechagua nataka kulipa mdada ambae sasa ni mfanyakazi akasema mpigie boss kua unataka kufanya exhange ya style hiyo, kumpigia kanikatalia katakata kwamba haiwezekani sale ni sale na huwez kuchanganya hapo soln ni kubadilisha tu nichukue zilizopo kwa sale, na mm zilizopo sale kwangu sikuona iliyo nzuri. Mwisho wa siku akaniambia kama hamna nguo ya kubadilisha niache then akiiuza atanirudishia hela yangu lakini kufanya top-up ili nichukue nguo ambayo haipo kweny sale hicho kitu hakipo duniani kote, akanitolea hadi mfano wa maduka makubwa kama Woolworths and the like.
Basi nikamshauri mkiwa mnatangaza sale mtoe na hayo masharti ili kina sisi wengine ambao hatuna hizo exposure za maduka makubwa na hatujui kanuni zenu za biashara tujue kuliko hivyo mtu unajikuta unalazimishwa kuchukua nguo usiyoipenda kisa sale, alinijibu shit kwakwel eti hayo hatuwezi kufanya ukifungua biashara yako ndo utafanya hivyo unavyosema😌
Kwa wale wafanyabiashara na wale wazoefu wa haya mambo je ni kweli hiyo exchange niliyotaka sio sahihi au ni yeye tu?. Kwakweli 100K inauma sana maana ile gauni haitauzwa kwa jinsi nilivyojaribu ina shida na mm kupata hela yangu itakua majaliwa aisee🥲🥲
Mnisamehe it’s my first time kupost humu so nimeandika ndefu ili mpate picha ya kile kilichotokea nadhani nimeeleweka. Msinipopoe jamani. Nahitaji mawazo yenu. Asanteni
Yaani nimeamka na mawazo sana nikaona nije huku kutaka msaada wenu yawezekana mm ni mshamba eneo hili.
Juzi nilinunua nguo duka fulan maeneo ya Sinza kulikua na sale hizi nguo za Uturuki kwa sale ya sh laki1. Katika nguo zilizokua kweny sale atleast ile kwangu ndio ilinivutia machoni pamoja na kua zilikuwepo nyingi tu.
Sasa kufika nyumbani nikajaribu tena ile nguo nikiwa kwenye viatu 👠 huku nikitembea tembea kutoka sehem moja kwenda nyingine, nikagundua ile gauni ina kasoro ukitembea kitambaa cha ndani yaani lining inajivuta so gauni inajikunja, wanawake watanielewa.
Basi nikaamua kurudisha pale dukani, kwa vile sikuona nguo niliyoipenda kweny sale nikaona niongeze laki1 nyingine nichukue tu gauni ya kawaida niachane na nguo za sale. Nimechagua nataka kulipa mdada ambae sasa ni mfanyakazi akasema mpigie boss kua unataka kufanya exhange ya style hiyo, kumpigia kanikatalia katakata kwamba haiwezekani sale ni sale na huwez kuchanganya hapo soln ni kubadilisha tu nichukue zilizopo kwa sale, na mm zilizopo sale kwangu sikuona iliyo nzuri. Mwisho wa siku akaniambia kama hamna nguo ya kubadilisha niache then akiiuza atanirudishia hela yangu lakini kufanya top-up ili nichukue nguo ambayo haipo kweny sale hicho kitu hakipo duniani kote, akanitolea hadi mfano wa maduka makubwa kama Woolworths and the like.
Basi nikamshauri mkiwa mnatangaza sale mtoe na hayo masharti ili kina sisi wengine ambao hatuna hizo exposure za maduka makubwa na hatujui kanuni zenu za biashara tujue kuliko hivyo mtu unajikuta unalazimishwa kuchukua nguo usiyoipenda kisa sale, alinijibu shit kwakwel eti hayo hatuwezi kufanya ukifungua biashara yako ndo utafanya hivyo unavyosema😌
Kwa wale wafanyabiashara na wale wazoefu wa haya mambo je ni kweli hiyo exchange niliyotaka sio sahihi au ni yeye tu?. Kwakweli 100K inauma sana maana ile gauni haitauzwa kwa jinsi nilivyojaribu ina shida na mm kupata hela yangu itakua majaliwa aisee🥲🥲
Mnisamehe it’s my first time kupost humu so nimeandika ndefu ili mpate picha ya kile kilichotokea nadhani nimeeleweka. Msinipopoe jamani. Nahitaji mawazo yenu. Asanteni