Jana mimi na mke wangu tulienda kumuona Gynacologist, tukaambiwa kuwa mtoto wetu ana uzito ambao alitakiwa awe nao wiki mbele zijazo. Na kwamba kichwa chake kinakuwa pia lakini wamesema hakina maji. Mimba ina week 34 ila mtoto ana uzito wa 2.4gm.
Dr Amesema turudi tena baada ya wiki mbili.
napenda kujua nini husababisha na kama kuna tiba yoyote.
Dr Amesema turudi tena baada ya wiki mbili.
napenda kujua nini husababisha na kama kuna tiba yoyote.