Alwayz on top JF-Expert Member Joined Jun 5, 2012 Posts 706 Reaction score 268 Oct 1, 2013 #1 kuna mdg wang amechaguliwa na tcu ifm lkn anataka ahamie t.i.a au N.I.T afanyeje ili apate hyo transfer? naomben ushaur wenu tafadhal
kuna mdg wang amechaguliwa na tcu ifm lkn anataka ahamie t.i.a au N.I.T afanyeje ili apate hyo transfer? naomben ushaur wenu tafadhal
donmasam Senior Member Joined Jun 19, 2013 Posts 161 Reaction score 36 Oct 1, 2013 #2 nahisi kama kachelewa coz watu wakutransfr walishatuma maombi na kukubaliwa
P pelanya Member Joined Sep 3, 2013 Posts 21 Reaction score 5 Oct 1, 2013 #3 Alwayz on top said: kuna mdg wang amechaguliwa na tcu ifm lkn anataka ahamie t.i.a au N.I.T afanyeje ili apate hyo transfer? naomben ushaur wenu tafadhal Click to expand... nenda kwenye chuo unachotaka kuhamia waeleze wao wanajua cha kufanya inawezekana pia kuna wakat ukiwa na cash wanakusajil unapiga bøok
Alwayz on top said: kuna mdg wang amechaguliwa na tcu ifm lkn anataka ahamie t.i.a au N.I.T afanyeje ili apate hyo transfer? naomben ushaur wenu tafadhal Click to expand... nenda kwenye chuo unachotaka kuhamia waeleze wao wanajua cha kufanya inawezekana pia kuna wakat ukiwa na cash wanakusajil unapiga bøok
Mshikawezi Mwizi JF-Expert Member Joined Jul 24, 2013 Posts 751 Reaction score 375 Oct 1, 2013 #4 hatua ya kwanza ya kuhama afunge mizigo yake vizuri alafu akodi fuso limpeleke hadi anakohamia!
isqo omy Member Joined May 30, 2013 Posts 99 Reaction score 6 Oct 1, 2013 #5 afike chuo husika watamsaidia bila shaka ila mkono mtupu.......