Naomba msaada kublock matangazo ya mikopo yasinifikie

Naomba msaada kublock matangazo ya mikopo yasinifikie

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Habari zenu wadau
Nimekuja hapa kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba msaada wakublock haya matangazo ya mikopo yasinifikie

Mwezi iliyopita nilifiwa na tangazo la mikopo kuwa wanakopesha Hadi millioni moja nika click link kupakua App baada ya kujisajiri nakutana mkopo unaanzia kutolewa ni Tsh 30000 hapo hapo ikabidi niifute hiyo App sikuona manufaa kwangu kwa mkopo huu

Shida iliyopo sasa nakutana na matangazo ya mikopo kwa wingi zaidi na Mimi sipo interest nataka niblock lakini sioni option ya kublock ili nisifikiwe
 
1. Kuwa na fedha....lipia usione matangazo. Yani hii mitandao siku hizi ni lazima uone matangazo...kama hutaki lipia kutumia mitandao.

2. Matangazo yanakuja kutokana na unayosearch kwenye simu, au mwenendo wa chats zako. Ukichat kuhsu kununua gari, basi jua matangazo ya magari ndio yatakuja, ukichat kuhusu ugumu wa maisha, yatakuja matangazo ya mikopo, etc
 
IMG_20240615_193559_1.jpg
 
Habari zenu wadau
Nimekuja hapa kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba msaada wakublock haya matangazo ya mikopo yasinifikie

Mwezi iliyopita nilifiwa na tangazo la mikopo kuwa wanakopesha Hadi millioni moja nika click link kupakua App baada ya kujisajiri nakutana mkopo unaanzia kutolewa ni Tsh 30000 hapo hapo ikabidi niifute hiyo App sikuona manufaa kwangu kwa mkopo huu

Shida iliyopo sasa nakutana na matangazo ya mikopo kwa wingi zaidi na Mimi sipo interest nataka niblock lakini sioni option ya kublock ili nisifikiwe
Haujasema hayo matangazo yanakuja wapi, bila details ni vigumu sana kupata msaada wowote.
 
1. Kuwa na fedha....lipia usione matangazo. Yani hii mitandao siku hizi ni lazima uone matangazo...kama hutaki lipia kutumia mitandao.

2. Matangazo yanakuja kutokana na unayosearch kwenye simu, au mwenendo wa chats zako. Ukichat kuhsu kununua gari, basi jua matangazo ya magari ndio yatakuja, ukichat kuhusu ugumu wa maisha, yatakuja matangazo ya mikopo, etc
Mimi ni mpenzi wa kuangalia matangazo ila sipo interest na matangazo ya mikopo sasa nimefankiwa kujua namna ya kublock matangazo hayo yalikuwa yananijia na kufunika app( pop up)nazotumia
1. Kuwa na fedha....lipia usione matangazo. Yani hii mitandao siku hizi ni lazima uone matangazo...kama hutaki lipia kutumia mitandao.

2. Matangazo yanakuja kutokana na unayosearch kwenye simu, au mwenendo wa chats zako. Ukichat kuhsu kununua gari, basi jua matangazo ya magari ndio yatakuja, ukichat kuhusu ugumu wa maisha, yatakuja matangazo ya mikopo, etc
 
Back
Top Bottom