Naomba msaada kufahamu Shule nzuri ya o-Level?

Mniwe jr

Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
29
Reaction score
0
Wana JamiiForums, naomba msaada wa kupata shule ya O Level niweze kumpeleka mdogo wangu akasome hapo. Sifa iwe na walimu wazuri, iwe na ufaulu mzuri wa matokeo ya kidato cha nne. Kama iko nje ya Morogoro basi iwe ya bweni.
 
Huyo mtoto n wakiume au wa kike..Pia unataka umwamishie au ndo anaanza form one coz shule nying zmeshafunguliwa toka january
 
Ni wa kike,na nataka aamie kwani yuko kidato cha tatu
 
huu ujinga wa kutegemea shule kumfaurisha mwanafunz bila jihudi zake binafsi, hata umpeleke st marys, kama atabaki vilevile
 
Shule unachangia kiasi fulan kweny ufaulu bhna.....ahhahhhahah.hata kama hajui vitu,anaweza kuambukizwa na wenzio mambo kadhaa na kujikuta yuko kweny track nzuri.
Badala ya kupat zero anaweza pata hata three.hahahh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…