Naomba Msaada Kufundishwa Kutumia Hii Kitu

Mkuu unapenda sana Dudu mpaka ukaanza kujiita Dick Monger, maana yake ni mlaku wa Dudu.

Hebu thibitisha uhalisia wa jina lako kwa kuja PM kwangu tuzungumze kuhusu kukuzawadia hiyo kitu.

Ahsante.
Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
 
Ha ha haaa watu wana vituko uku lol
 
Karibu, we ukikaa tu hapa utajua kinaendelea nn bila hata kufundwa, just stay online 24/7
 
Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
Karibu usishangae kuna Vijana wa Lumumba huwa wanajitoa ufahamu usishangae wapo kazini wanalipwa buku 3 na bando la bule kutetea Ccm
 
Karibu usishangae kuna Vijana wa Lumumba huwa wanajitoa ufahamu usishangae wapo kazini wanalipwa buku 3 na bando la bule kutetea Ccm
mi siasa siyo sana cpend, napenda kujua tu sana kuhusu maisha
 
Reactions: e2n
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…