Naomba Msaada Kufundishwa Kutumia Hii Kitu

Mh makubwa, mi hicho ni kifupi cha majina yangu matatu kumbe ndo maana yake hiyo?
 
[quote uid=426074 name="Dick Monger" post=20472204]Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana[/QUOTE]<br />Karibu usishangae kuna Vijana wa Lumumba huwa wanajitoa ufahamu usishangae wapo kazini wanalipwa buku 3 na bando la bule "BURE[color]" kutetea Ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…