Naomba Msaada Kufundishwa Kutumia Hii Kitu

Naomba nielekeze na namna ya kufanya ili nisiwe mshamba, wababa wa humu hata hawanielekez wanaleta mambo ya kikubwa kwenye pm
 
Mbona unaongea kama hujawahi kuonja Dyudyu? Au ndio gia yako hiyo....
 
Kutumia Jamii Forum
-Peleka uzi husika kwenye jukwaa husika, mfano swala la siasa hautakiwi kulipeleka kwenye jukwaa la mahusiano au jukwaa la hoja na habari mchanganyiko ili upate wachangiaji.

-Hairuhusiwi matusi (tafsida inaruhusiwa) kumdhalilisha au kumbagua member mwenzio, kufanya hivyo hupelekea ban.

-Marufuku kuleta mazungumzo uliyofanya pm jukwaani hii hupelekea ban.

-Ukihisi umemjua mtu anayetumia fake id, usiliseme hilo pale pale mfuate pm, kumtaja hapo hapo hupelekea ban.

-Marufuku kuandika kama upo FB au kufupisha vitu bila sababu mfano 'S' kuiandika 'X' hivyo sasa kua xaxa, au 'tu' kuiandika 'tyu'. Utanikera na utatukera wengi.

-Zingatia sheria zote za JF.

-Kuanzia leo nakubatiza jina la Mkuu, ukiitwa mkuu usishangae, sawa mkuu?
 
Sawa Mkuu, wengine wanafundisha vizuri hadi raha
 
Dada kama yule cjui nyaningadu cjui, mwingine mmawia, wale si wanakulaga watu? wengine cjui majina ya kidhungu misamiati
Binti!!....Lugha zako hapan'shaka weye mzoefu wa mambo ya Mombasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…