Naomba Msaada Kufundishwa Kutumia Hii Kitu

Damnt[emoji15][emoji56] ....salaale!!!
 
Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
Dah..Dogo kwa mwendo wa haraka nenda kabadilishe jina..ni aibu kwa mtoto wa kiume.....labda kama unafanya promo kwa makokroch.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…