Naomba msaada kuhusiana na hili swala

Naomba msaada kuhusiana na hili swala

ABBM

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2021
Posts
428
Reaction score
782
Mimi ni fundi. Niluenda kwa tajiri na kumfanyia hesabu ya gharama zinazohitajika akanipatia kiasi chote Cha fedha kwa ajili ya kazi yake ila sikuenda kufanya kazi kwa wakati na nikamuarifu yakuwa nitafika kufanya kazi siku flani. Kabla ya hiyo siku kufika alinifuata na kwenda nae kituoni ndipo nikafunguliwa shtaka. Nilikaa siku chache kituoni kutokana dhamana yangu kuminuwa ili niweze kutoka kumrudishia fedha yake ama kumaliza kazi. kabla ya kutoka ndani kwa dhamana tajiri alipatiwa fedha yake na kwenda kituoni kufuta mashtaka ila askari aliyehusika na kesi Kuna kiwango Cha fedha anadai ili shtaka lifutwe kabisa. Je nikienda mahakamani ni a kesi ya kujibu ama nichukue hatua gani
 
Mimi ni fundi. Niluenda kwa tajiri na kumfanyia hesabu ya gharama zinazohitajika akanipatia kiasi chote Cha fedha kwa ajili ya kazi yake ila sikuenda kufanya kazi kwa wakati na nikamuarifu yakuwa nitafika kufanya kazi siku flani. Kabla ya hiyo siku kufika alinifuata na kwenda nae kituoni ndipo nikafunguliwa shtaka. Nilikaa siku chache kituoni kutokana dhamana yangu kuminuwa ili niweze kutoka kumrudishia fedha yake ama kumaliza kazi. kabla ya kutoka ndani kwa dhamana tajiri alipatiwa fedha yake na kwenda kituoni kufuta mashtaka ila askari aliyehusika na kesi Kuna kiwango Cha fedha anadai ili shtaka lifutwe kabisa. Je nikienda mahakamani ni a kesi ya kujibu ama nichukue hatua gani
umeongea vitu kwa kuchanganya, lakini hainashida.

Ikiwa unayosema nikweli kwamba tajiri ambae ulipaswa kumfanyia kazi alikwisha lipwa pesa na shtaka likafutwa kinachoombwa tena hapo Ili shtaka lifutwe, nishtaka gani?
ikiwa mlalamikaji ambae nishahidi muhimu alikwisha lipwa pesa yake.

kwakifupi hapo hakuna kesi labda ujanja ujanja tu wakutaka kukupiga.

kwahio Hana anachoweza kufanya katika Hilo.
 
Kama Mteja wako amelipwa pesa na kesi imefutwa maana yake hakuna kinachoendelea
Polisi Wanahiyo michezo Ili waingize chochote mfukoni.
 
umeongea vitu kwa kuchanganya, lakini hainashida.

Ikiwa unayosema nikweli kwamba tajiri ambae ulipaswa kumfanyia kazi alikwisha lipwa pesa na shtaka likafutwa kinachoombwa tena hapo Ili shtaka lifutwe, nishtaka gani?
ikiwa mlalamikaji ambae nishahidi muhimu alikwisha lipwa pesa yake.

kwakifupi hapo hakuna kesi labda ujanja ujanja tu wakutaka kukupiga.

kwahio Hana anachoweza kufanya katika Hilo.

umeongea vitu kwa kuchanganya, lakini hainashida.

Ikiwa unayosema nikweli kwamba tajiri ambae ulipaswa kumfanyia kazi alikwisha lipwa pesa na shtaka likafutwa kinachoombwa tena hapo Ili shtaka lifutwe, nishtaka gani?
ikiwa mlalamikaji ambae nishahidi muhimu alikwisha lipwa pesa yake.

kwakifupi hapo hakuna kesi labda ujanja ujanja tu wakutaka kukupiga.

kwahio Hana anachoweza kufanya katika Hilo.
Habari kaka, Naweza nika ku Pm tafadhari?
 
Back
Top Bottom