Naomba msaada kuhusiana na swala la website

Naomba msaada kuhusiana na swala la website

!?

  • good

    Votes: 0 0.0%
  • good

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    0
  • Poll closed .

ferucho lamborgini

Senior Member
Joined
Nov 25, 2023
Posts
185
Reaction score
599
Nahitaji kufungua website kwa ajili ya biashara.

Nimepitia baadhi ya nyuzi tofauti tofauti kuhusiana na maswala ya website na aina zake nimepata mwanga angalau kidogo.

Ila bado nina maswali kwa wataalamu, naombeni mnisaidie

a] Nitajuaje kama website niliyotengenezewa na web designer kama ni custom au ni template website?

custom- ni website ambayo inaanza from the scratch

Template-wanachukua website iliyotengenezwa wana-edit

Haya maelezo nimepata humu kwenye baadhi ya nyuzi, mtanisahihisha kama sio sahihi

b]Baada ya kumaliza kutengenezewa website, nitaweza kuwekewa website kwenye simu yangu kwa mfumo wa app?

C]kwa gharama gani ninaweza kupata website nzuri kwa ajili ya biashara ya utalii?
 
Nahitaji kufungua website kwa ajili ya biashara.

Nimepitia baadhi ya nyuzi tofauti tofauti kuhusiana na maswala ya website na aina zake nimepata mwanga angalau kidogo.

Ila bado nina maswali kwa wataalamu, naombeni mnisaidie

a] Nitajuaje kama website niliyotengenezewa na web designer kama ni custom au ni template website?

custom- ni website ambayo inaanza from the scratch

Template-wanachukua website iliyotengenezwa wana-edit

Haya maelezo nimepata humu kwenye baadhi ya nyuzi, mtanisahihisha kama sio sahihi

b]Baada ya kumaliza kutengenezewa website, nitaweza kuwekewa website kwenye simu yangu kwa mfumo wa app?

C]kwa gharama gani ninaweza kupata website nzuri kwa ajili ya biashara ya utalii?
Salaam Mkuu!


a) Website inapaswa kutengenezwa kulingana na mahitaji ya mteja (Website Requirements Specification). Suala la kwamba imetengenezwa from scratch au imekuwa customized inaweza isiwe issue sana so long as mahitaji yako yamekuwa fulfilled. Kwenye haya mambo ya Web/App developments kuna concept ya ku-reuse “building blocks” yaweza kuwa ni requirements/feature/etc. Kwahiyo hata ukijengewa nyumba, inaweza isimlazimu fundi kwenda kuchonga dirisha au geti wakati kuna mahala yanaweza kwenda kununuliwa na kupachikwa na wewe ukaridhika. Kwahiyo kikubwa hapo ni KUKAMILIKA KWA MAHITAJI YAKO YA WEBSITE/TOVUTI WEWE KAMA MTEJA. Mkiishakubaliana simamia hapohapo. Na kwenye malipo nakushauri msikubaliane kulipana hela nyingi kabla ya kupewa kazi iliyokamilika. Unaweza mpa 30% kama advance, 40% ukaja kuilipa baada ya User Acceptance Test (majaribio yako ya kujiridhisha kuwa Tovuti inafanya kazi na kubehave kama ilivyokusudiwa) na 30% ukaja kuilipa baada ya Website kuwa hewani/live. Pia, unaweza kumwambia akufanyie Prototyping kabla ya kuendelea na coding. Prototyping ni kukupa Mockups/Mfanano wa Website itakavyoonekana kabla ya kuenhance full Functionality. Ukipata Designer mzuri ataelewa namaanisha nini.

b) Ndiyo, unaweza ifungua kwa simu lakini pia unaweza tengenezewa Mobile App kwa zile features utakazotaka ziweze kutumika kupitia hiyo App. Inaweza kuwa ni same package au a separate project depends on the negotiations.

c) Gharama itategemea na mahitaji pamoja na uzoefu na "ufundi" wa Designers/Developers.

Wasalaam.
 
Salaam Mkuu!


a) Website inapaswa kutengenezwa kulingana na mahitaji ya mteja (Website Requirements Specification). Suala la kwamba imetengenezwa from scratch au imekuwa customized inaweza isiwe issue sana so long as mahitaji yako yamekuwa fulfilled. Kwenye haya mambo ya Web/App developments kuna concept ya ku-reuse “building blocks” yaweza kuwa ni requirements/feature/etc. Kwahiyo hata ukijengewa nyumba, inaweza isimlazimu fundi kwenda kuchonga dirisha au geti wakati kuna mahala yanaweza kwenda kununuliwa na kupachikwa na wewe ukaridhika. Kwahiyo kikubwa hapo ni KUKAMILIKA KWA MAHITAJI YAKO YA WEBSITE/TOVUTI WEWE KAMA MTEJA. Mkiishakubaliana simamia hapohapo. Na kwenye malipo nakushauri msikubaliane kulipana hela nyingi kabla ya kupewa kazi iliyokamilika. Unaweza mpa 30% kama advance, 40% ukaja kuilipa baada ya User Acceptance Test (majaribio yako ya kujiridhisha kuwa Tovuti inafanya kazi na kubehave kama ilivyokusudiwa) na 30% ukaja kuilipa baada ya Website kuwa hewani/live. Pia, unaweza kumwambia akufanyie Prototyping kabla ya kuendelea na coding. Prototyping ni kukupa Mockups/Mfanano wa Website itakavyoonekana kabla ya kuenhance full Functionality. Ukipata Designer mzuri ataelewa namaanisha nini.

b) Ndiyo, unaweza ifungua kwa simu lakini pia unaweza tengenezewa Mobile App kwa zile features utakazotaka ziweze kutumika kupitia hiyo App. Inaweza kuwa ni same package au a separate project depends on the negotiations.

c) Gharama itategemea na mahitaji pamoja na uzoefu na "ufundi" wa Designers/Developers.

Wasalaam.
umeandika kitaalamu sana mkuu, ww ni web-designer upo wapi?
 
Back
Top Bottom