chankele kigoma
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 199
- 121
Ni miaka minne (4 yrs) toka nijifungue mtoto wangu wa kwanza, nimekuwa nikifanyajitihada za kupata mtoto mwingine bila mafanikio, hivo basi naombeni msaada kwa wale wenye weledi juu ya hili.
Nawasilisha kwenu wadau
Nawasilisha kwenu wadau