realleonia
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 366
- 138
Mie ni mwalimu sekondari mwenye stashahada, nimeajiriwa 2005 . Niliajiriwa wilaya ya mbozi kwa kutojua taratibu sikujaza mkataba wa kudumu kazini mpaka pale nilipo hamia shule ya mjini na kugundua kuwa kuna kujaza mikataba nikaanza mchakato huo 2012 na mpaka sasa nimepata barua ya mkataba/ajira na kuthibitishwa kazini.
Mpaka sasa sijapandishwa daraja lolote wenzangu nilio anza nao wapo daraja E mimi bado nipo C. Kwa mazingira hayo nifanye nini kufikia daraja la wenzangu nilio ajiriwa nao pamoja naomba ushauri tafadhari.
NA WASILISHA.
Mpaka sasa sijapandishwa daraja lolote wenzangu nilio anza nao wapo daraja E mimi bado nipo C. Kwa mazingira hayo nifanye nini kufikia daraja la wenzangu nilio ajiriwa nao pamoja naomba ushauri tafadhari.
NA WASILISHA.