ndg zangu niasaidie majnia na idadi ya wajumbe wa kamti ya dr costa ricky mahalu niwajue ili from the start nijiridhishe kinachowasilishwa ni cha aina gani
kamati ina wajumbe makini sana kama mwanasheria mkuu wa serikali ya muungano na zanzibar, tundu lisu, simbachawene, amon, n.k., kwa kweli kamati hiyo mimi binafsi nina imani nayo sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.