Mkereketwa wa NAZI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 1,048
- 2,449
Kabisa siku izi nashangaa mtu anaanza kukomplicate kuhusu chuo kipi kizuri wakat wote mkimaliza n mtaani kusugua bora usome chuo chochote tuKasome popote mkuu, wa Muhas wenyewe wapo mtaani, hakuna kazi.
Hospital yao wameshakamilisha ujenzi au badooMimi napiga kiut pale, nipo health department..
Chuo kipo poa Sana ila kwa sisi tunaopiga udaktari pale changamoto nazoziona ni hizi:
1.Dressing code
Kama vyuo vingine vya afya kama kcmc, hua uvaaji ni OFFICIAL, Yani medical student inatakiwa uvae suti, au basi suruali ya kitambaa na shati, tai nk, uvaaji wa kiut ni CASUAL, yaani we vaa tu kivyovyote jeans, chini sandal, jezi nk hii inaleta changamoto hasa wadada unaeza kuta yupo kitovu nje..
2. Ada na matumizi mengine
Ada ya udaktari ni 7.2M pia kuna matumizi mengine kama kununua lab manuals, kitabu Cha kufanya assignment zote etc kila semester andaa 50k ya hayo makolokolo...kwa Ada ya 7.2M inabidi tupewe hivo vitu na chuo, lakini imekua kama biashara Fulani hivi..
Kwa upande wangu hizo tu ndio changamoto, mambo mengine naona yapo super saaana...malecturer wapo wakutosha kutoka nchi mbalimbali....
*Dr Omar Maceo Palacio: kutoka CUBA
*PROF Adesanya; kutoka NIGERIA(fundi wa anatomy na head of department)
*DR Ruth Aquisku Okot; NIGERIA
*DR Ntongwisangu: MB,ChB,PhD-Renal physiologist
*Dr Okot Asi nku-Ekpang- NIGERIA
You are warmly welcomed..🙏
BadoHospital yao wameshakamilisha ujenzi au badoo
Chuo kipo vizuri, usisikilize maneno ya watu, njoo upige msuli huku, mazingira rafiki kwa kusomea..Naomba kujua kuhusu pharmacy wapoje pale mkuu natanguliza shukrani za dhati
Kuna mademu wakali?Chuo kizuri sana wako jirani na Mimi hapa.
1.Taaluma naona Wana waalimu wa kutosha na majengo rafiki sana
2.Michezo nadhani hiki kwa Sasa kwa Tanzania ndio chuo kinachoongoza kwa michezo kwa wanafunzi
3.Afya Wana huduma mule ndani ila wako karibu na zahanati ya goms na kitonka hospital
4.Hostel kwa mule ndani zipo ila pia maeneo yote yanayozunguka chuo zimejaa
5.Usafiri kuja na kutoka chuoni nadhani ni 24hrs hasa ukitumia kituo Cha Mali asili (goms) na mwendo Kasi ndio hiyo inakuja.
6.Ada zao pia ni rafiki sana tena sana
7.starehe na burudani chuo chote kimezungukwa na pubs na migahawa midogo ya chakula na ila TNT imevunjwa kwa Sasa labda uende kule Kumalija
8.Nyumba za ibada zipo ndani ya chuo ni utasali Tani Yako tena kwa uhuru mkubwa(awaruhusu maandamano)
9.wanafunzi wake kwa kweli wengi naona ni watulivu sana hawana mambo mengi ila ni wananukia hadi nje ya chuo ukipita utasikia marashi
10.kwa ujumla ni chuo Bora
Uje ujionee mwenyewe, kila mtu na macho yake 😂Kuna mademu wakali?
Kuliko chuo chochote Tanzania afu hata wale wasio wanachuo off campus girls ni pisi za kwenda kumbuka ni dar hapa tena gomsKuna mademu wakali?
Nimemwambia mi hapo ndio mitaa yangu kwa Sasa kwa dar ukiondoa UD hiki chuo kinafataChuo kipo vizuri, usisikilize maneno ya watu, njoo upige msuli huku, mazingira rafiki kwa kusomea..
Kampala International University wana Campus 3Habari zenu wakuu,
Nahitaji kujua kuhusu hali ya ubora wa chuo cha Kampala International University kwa sasa, maana hapo miaka ya nyuma nliskia kashfa nyingi kuhusu hiki chuo.
Unataka kumaanisha kuwa KIU inakubalika na kutegemewa sana Uganda kama inavyokubalika na kutegemewa TEKU hapa Bongo??Kampala International University wana Campus 3
1. KIU Main Campus Ggaba road Uganda
2. KIU Western Campus Uganda pamoja na
3. KIU Tanzania
Mimi naifahamu vizuri Main Campus maana ndipo ninaposoma kwa sasa.
In short kwa Nchi ya Uganda (na kwa ranking za miaka ya 2021, 2022 na 2023 KIU ndo Chuo binafsi kinachoshindana na Makelele.
Kwa vyuo Binafsi nchini Uganda hakuna Chuo kinachokifikia KIU, namaanisha ndicho Chuo binafsi cha kwanza kwa ubora nchini Uganda.
Tazizo picha zunqgoma ku-Upload, ungaelewa ukisemachoUnataka kumaanisha kuwa KIU inakubalika na kutegemewa sana Uganda kama inavyokubalika na kutegemewa TEKU hapa Bongo??