Naomba msaada kuhusu umiliki wa hii mirathi ugawaji na haki zake

Naomba msaada kuhusu umiliki wa hii mirathi ugawaji na haki zake

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,401
Marehemu bibi yetu alifariki kitambo sana, na alizaa watoto wawili wa kike, ambao walikuwa ni mama zetu mkubwa na mdogo nao pia walifariki kitambo sana.

Nyumba aliyoiacha marehemu bibi yetu bado inasomeka kwa jina lake mpaka sasa. Nyumba hii ilileta mgogoro upande wa kodi inyopatikana, baadhi yetu waliwatendea ndivyo sivyo mapato ya Kodi yatokanayo na hiyo nyumba, tukaweka kikao cha kugawana vyumba, lakini kelele haziishi, tumeamua kuiuza hiyo nyumba ili kila mmoja apate chake tuachane, jumla yetu ni watu kumi wa mama mdogo na mmoja wa mama mkubwa.

Ifahamike nyumba hiyo ni nguvu ya marehemu bibi yetu bila mshirika.


Naomba kufahamu nyumba hii ikiuzwa tunagawanaje?,pasu kwa pasu au kunataratibu ambazo haziruhusu pasu
 
Huyo ambae Kwa mama yake yupo peke yake lazima mgao wake uzidi kidogo maana wanaogawana hapo ni watoto na nyie ni wawakirishi tu.

Hivyo mkubwa wenu atasimama kwaniaba ya mama yenu na huyo jamaa atasimama kwaniaba ya mama yake. Ukishapigwa mgao phase one, phase two itakua ndio ya pasu pasu ya kwenu nyinyi watoto kumi wa mama mmoja.

Kibinadamu mnaweza mkagawana pasu Kwa wote 11 lakini huyo jamaa alidhie akigoma bhaasi.
 
Huyo ambae Kwa mama yake yupo peke yake lazima mgao wake uzidi kidogo maana wanaogawana hapo ni watoto na nyie ni wawakirishi tu.

Hivyo mkubwa wenu atasimama kwaniaba ya mama yenu na huyo jamaa atasimama kwaniaba ya mama yake. Ukishapigwa mgao phase one, phase two itakua ndio ya pasu pasu ya kwenu nyinyi watoto kumi wa mama mmoja.

Kibinadamu mnaweza mkagawana pasu Kwa wote 11 lakini huyo jamaa alidhie akigoma bhaasi.
Boss atagomea nini ikiwa nyumba hata mama zetu wamekufa bila kurithishwa na inasomeka ni ya wajukuu tuliopo?,iweje wengine watuzidi?
 
Marehemu bibi yetu alifariki kitambo sana, na alizaa watoto wawili wa kike, ambao walikuwa ni mama zetu mkubwa na mdogo nao pia walifariki kitambo sana.

Nyumba aliyoiacha marehemu bibi yetu bado inasomeka kwa jina lake mpaka sasa. Nyumba hii ilileta mgogoro upande wa kodi inyopatikana, baadhi yetu waliwatendea ndivyo sivyo mapato ya Kodi yatokanayo na hiyo nyumba, tukaweka kikao cha kugawana vyumba, lakini kelele haziishi, tumeamua kuiuza hiyo nyumba ili kila mmoja apate chake tuachane, jumla yetu ni watu kumi wa mama mdogo na mmoja wa mama mkubwa.

Ifahamike nyumba hiyo ni nguvu ya marehemu bibi yetu bila mshirika.


Naomba kufahamu nyumba hii ikiuzwa tunagawanaje?,pasu kwa pasu au kunataratibu ambazo haziruhusu pasu
Mgawanyo upo wazi mbona hapo sema tamaa ndio italeta sintofahamu sababu mwanadamu kaumbwa na tamaa sn.

Hapo warithi ni wawili tu watoto wa (BIBI)
Mama Mkubwa na Mama Mdogo kwahiyo kama nyumba inauzwa mgawanyo ni mafungu mawili tu yanagawiwa Mama Mkubwa 50%, Mama Mdogo 50% kwihiyo sasa kama Mama Mmoja ana watoto 10 imekula kwenu hiyo.
 
Mgawanyo upo wazi mbona hapo sema tamaa ndio italeta sintofahamu sababu mwanadamu kaumbwa na tamaa sn.

Hapo warithi ni wawili tu watoto wa (BIBI)
Mama Mkubwa na Mama Mdogo kwahiyo kama nyumba inauzwa mgawanyo ni mafungu mawili tu yanagawiwa Mama Mkubwa 50%, Mama Mdogo 50% kwihiyo sasa kama Mama Mmoja ana watoto 10 imekula kwenu hiyo.
Mkuu nifafanulie vizuri,hii nyumba haikuwa ya mama zetu,ilikuwa ya bibi yetu iweje mgawanyo uwe wa matumbo?,hebu nipe hicho kifungu kinachoeleza huo mgawanyo nikipitie kaka,natanguliza samahani
 
Mkuu nifafanulie vizuri,hii nyumba haikuwa ya mama zetu,ilikuwa ya bibi yetu iweje mgawanyo uwe wa matumbo?,hebu nipe hicho kifungu kinachoeleza huo mgawanyo nikipitie kaka
Urithi huwa unaenda kwa watoto wa mmiliki mali iwe aliwaandika majina kwenye urithi au hakuwaandika as ling as ni watoto wake wanaotambulika. Kwahiyo katika case hiyo warithi walikuwa watoto wake 2.

Sema busara inabidi itumike mkae muelewane na mkubaliane kugawana pasu kwa pasu. Ingawa pia kwa upande mwingine naona ukakasi sababu watoto 2 walishafariki so hawawezi kuwa warithi zaidi wajukuu wote mgawane ngoja tusubiri wajuzi wa sheria waje wakupe mwongozo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Urithi huwa unaenda kwa watoto wa mmiliki mali iwe aliwaandika majina kwenye urithi au hakuwaandika as ling as ni watoto wake wanaotambulika. Kwahiyo katika case hiyo warithi walikuwa watoto wake 2.

Sema busara inabidi itumike mkae muelewane na mkubaliane kugawana pasu kwa pasu. Ingawa pia kwa upande mwingine naona ukakasi sababu watoto 2 walishafariki so hawawezi kuwa warithi zaidi wajukuu wote mgawane ngoja tusubiri wajuzi wa sheria waje wakupe mwongozo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimekuelewa,lakini mama zetu walifariki na hawakuwahi kurithishwa mali hiyo kwa maandishi,ispokuwa mahakamani kuna maandishi yakisema wajukuu ndio warithi wa hiyo mali .
 
Marehemu bibi yetu alifariki kitambo sana, na alizaa watoto wawili wa kike, ambao walikuwa ni mama zetu mkubwa na mdogo nao pia walifariki kitambo sana.

Nyumba aliyoiacha marehemu bibi yetu bado inasomeka kwa jina lake mpaka sasa. Nyumba hii ilileta mgogoro upande wa kodi inyopatikana, baadhi yetu waliwatendea ndivyo sivyo mapato ya Kodi yatokanayo na hiyo nyumba, tukaweka kikao cha kugawana vyumba, lakini kelele haziishi, tumeamua kuiuza hiyo nyumba ili kila mmoja apate chake tuachane, jumla yetu ni watu kumi wa mama mdogo na mmoja wa mama mkubwa.

Ifahamike nyumba hiyo ni nguvu ya marehemu bibi yetu bila mshirika.


Naomba kufahamu nyumba hii ikiuzwa tunagawanaje?,pasu kwa pasu au kunataratibu ambazo haziruhusu pasu
Muangalie tu msije kumuua ndugu yenu yeye anachukua urithi sehem ya mama yake na kinacho baki mnagawana nyie Tisa mlio baki
 
Mkuu nimekuelewa,lakini mama zetu walifariki na hawakuwahi kurithishwa mali hiyo kwa maandishi,ispokuwa mahakamani kuna maandishi yakisema wajukuu ndio warithi wa hiyo mali .
Swali la kujiuliza ni kuwa, hao kina mama wangekuwa hai wangegawana vipi? Kwa ufupi mgawo utaanza kwa wazazi halafu kila mtu akagawane cha mama yao. Walio wengi imekula kwao
 
Hujaeleza kama mama zenu walifariki kabla au baada ya kifo cha Bibi mwenye mali ili tufahamu ni kwa nini hawakurithi. Hata hivyo, Mirathi inaenda kwa mtu aliye hai na sio marehemu.

Mama zenu hawawezi kurithi kwa kuwa wamekwishafariki. Sasa wajukuu ndio mtarithi (umesema kuna amri ya mahakama inayosema hivyo pia).

Msimamizi wa mirathi ana mamlaka na uwezo wa kugawa mali atakavyo, ila ni muhimu kupata maoni yenu warithi (japo sio lazima ayazingatie). Kwa hiyo kwa sababu hujaeleza dini mliyopo nk, kiserikali mgao utakuwa vyovyote mtakavyokubaliana na atavyoamua msimamizi wenu wa mirathi.
 
Huyo ambae Kwa mama yake yupo peke yake lazima mgao wake uzidi kidogo maana wanaogawana hapo ni watoto na nyie ni wawakirishi tu.

Hivyo mkubwa wenu atasimama kwaniaba ya mama yenu na huyo jamaa atasimama kwaniaba ya mama yake. Ukishapigwa mgao phase one, phase two itakua ndio ya pasu pasu ya kwenu nyinyi watoto kumi wa mama mmoja.

Kibinadamu mnaweza mkagawana pasu Kwa wote 11 lakini huyo jamaa alidhie akigoma bhaasi.
Thread closed!
 
Hujaeleza kama mama zenu walifariki kabla au baada ya kifo cha Bibi mwenye mali ili tufahamu ni kwa nini hawakurithi. Hata hivyo, Mirathi inaenda kwa mtu aliye hai na sio marehemu.

Mama zenu hawawezi kurithi kwa kuwa wamekwishafariki. Sasa wajukuu ndio mtarithi (umesema kuna amri ya mahakama inayosema hivyo pia).

Msimamizi wa mirathi ana mamlaka na uwezo wa kugawa mali atakavyo, ila ni muhimu kupata maoni yenu warithi (japo sio lazima ayazingatie). Kwa hiyo kwa sababu hujaeleza dini mliyopo nk, kiserikali mgao utakuwa vyovyote mtakavyokubaliana na atavyoamua msimamizi wenu wa mirathi.
Nimekusoma,msimamizi wa hiyo mirathi ni mmoja wetu wajukuu,ina maana yeye ana conflict of interest,hapo imekaaje,si atajigawia kingi?
Mimi maoni yangu tukae tukubaliane namna bora ya kugawana na si mmoja awe kidume wakati ni miongoni mwetu,
 
KABLA SIJAJIBU... NATAKA NIFAHAMU... UNATAKA IGAWANYWE KIDINI(KIISLAAM) AU KISERIKALI?

KAMA NI KIDINI... BADO KUNA TAARIFA BADO NAZIHITAJI... TAARIFA HAZIJITOSHELEZI.

JIBU KWANZA ALAFU NDIO NIKWAMBIE TAARIFA GANI BADO ZIMEPELEA.
 
Back
Top Bottom