Naomba msaada kuhusu umiliki wa hii mirathi ugawaji na haki zake

Naomba msaada kuhusu umiliki wa hii mirathi ugawaji na haki zake

Msimamizi wa mirathi hana conflict of interest, si amepewa na mahakama kwa nyie kumkubali (hamjampinga). Sawa, kaeni mjadiliane mnagawanaje, lakini ushapewa angalizo mzilazimishe mnavyotaka kumpa kidogo huyo mwenzenu aliye mmoja.

Mkicheza cheza hamtagawana hiyo mali na mtaishia kuuana. Kafanyeni vikao kwa mkuu wa Wilaya au kwenye dini yenu wawasaidie kuwaongoza kwenye mgao halafu huyo msimamizi achukue mapendekezo na kuyatekeleza.
 
Mkuu nimekuelewa,lakini mama zetu walifariki na hawakuwahi kurithishwa mali hiyo kwa maandishi,ispokuwa mahakamani kuna maandishi yakisema wajukuu ndio warithi wa hiyo mali .
Wewe unataka ushauri au

Mana jamaa anachokwambia ndo ipo hivyo
 
KABLA SIJAJIBU... NATAKA NIFAHAMU... UNATAKA IGAWANYWE KIDINI(KIISLAAM) AU KISERIKALI?

KAMA NI KIDINI... BADO KUNA TAARIFA BADO NAZIHITAJI... TAARIFA HAZIJITOSHELEZI.

JIBU KWANZA ALAFU NDIO NIKWAMBIE TAARIFA GANI BADO ZIMEPELEA.
Kiserikali mkuu
 
Mkuu nifafanulie vizuri,hii nyumba haikuwa ya mama zetu,ilikuwa ya bibi yetu iweje mgawanyo uwe wa matumbo?,hebu nipe hicho kifungu kinachoeleza huo mgawanyo nikipitie kaka,natanguliza samahani
Sheria ziko wazi mbona mrithi ni mtoto au watoto wa marehemu kama MAREHEMU hakuwa na watoto mali inarithiwa na wazazi wa marehemu kama BABA au MAMA kama wapo.

Sasa hapo BIBI yako si ana watoto wawili aliye wazaa kimsingi ndio warithi halali wa nyumba ya BIBI yako na ndio wenye haki ya kurithi hiyo Nyumba naikitokea nawao wamefariki basi nawao watarithiwa na watoto wao sasa hapo tatizo lipo wapi? Au mzazi mmoja ana timu ya mpira na mwingine alizaa kizungu?
 
Sheria ziko wazi mbona mrithi ni mtoto au watoto wa marehemu kama MAREHEMU hakuwa na watoto mali inarithiwa na wazazi wa marehemu kama BABA au MAMA kama wapo.

Sasa hapo BIBI yako si ana watoto wawili aliye wazaa kimsingi ndio warithi halali wa nyumba ya BIBI yako na ndio wenye haki ya kurithi hiyo Nyumba naikitokea nawao wamefariki basi nawao watarithiwa na watoto wao sasa hapo tatizo lipo wapi? Au mzazi mmoja ana timu ya mpira na mwingine alizaa kizungu?
Tatizo liko hapo... Mtoto mmoja alizaa team mwingine alizaa kizungu... Sasa mleta mada yupo kwenye team kubwa!
 
Tatizo liko hapo... Mtoto mmoja alizaa team mwingine alizaa kizungu... Sasa mleta mada yupo kwenye team kubwa!
Basi mleta maada Kama anamuonea wivu mwenzake aliyezaliwa pekee yake,basi na yeye awapunguze ndugu zake anavyojua yeye ili na yeye abaki peke yake,alafu ndiyo nae atapata hiyo asilimia 50 ya Mali ya Bibi yake!!
 
Back
Top Bottom