Naomba msaada kuhusu uwekezaji wangu katika mfuko wa Ukwasi wa UTT

Naomba msaada kuhusu uwekezaji wangu katika mfuko wa Ukwasi wa UTT

raees

Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
43
Reaction score
46
Nimewekeza jana kwenye mfuko wa ukwasi ( liquid fund) nimeweka milion 7 hasa leo nimeangalia salio hapa inanionesha hivi naombeni msaada kwa wazoefu. Mimi nilikuwa nafikiri nitaikuta hela yangu yote na maongezeko kidogo, naombeni msaada wa elimu kidogo kwa wazoefu mbona haioneshi hela yangu yote 7 M inaonesha ivyo.

Screenshot_20240807-162154_Messages.jpg
 
Hela yako ipo yote, hapo umeona hvyo kwavile umengalia kupitia menu ile ya *150*82#, Ila ukiangalia salio kupitia App ya UTT Amis utaona salio lako lote

Hongera pia mwanzo mzuri
 
Hela yako ipo yote, hapo umeona hvyo kwavile umengalia kupitia menu ile ya *150*82#, Ila ukiangalia salio kupitia App ya UTT Amis utaona salio lako lote

Hongera pia mwanzo mzuri
Ok sawa kiongozi asante sana
 
Na mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?
 
Na mimi nipate elimu kidogo hapo. Unaanza kuvuna baada ya muda gani? Na let say kwa hyo 7m utakua unavuna how much kila baada ya muda gani?

Wastani wa 70k kwa mwezi, itakua inaongezeka on daily basis. Kwa hiyo kila siku itakua inaongezeka buku mbili mia tatu na ushee (haya yote ni mawastani, depending na performance ya mfuko).

Swali: Ni biashara gani nzuri naweza fanya kwa mtaji wa 7 M nikapata faida kubwa zaidi??
 
Back
Top Bottom